News
CCM ni chama kinachoongozwa na misingi na imani thabiti. Moja ya imani kuu za CCM ni kwamba binadamu wote ni sawa.
Hoja ya Gwajima ilikuwa nzuri na inagusa masilahi ya nchi kwa upana. Hata hivyo, namna alivyoiwasilisha ilikuwa lazima ilete ...
Kwa kufanya hivyo, Tanzania itaendelea kuwa mfano wa kuigwa katika ukanda wa Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.
Haisemwi rasmi bali inasemwa kama minong’ono kuwa katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2025, yapo majimbo ambayo ...
Kwa wanaofuatilia masuala ya dini, watakubaliana nasi kuwa imezuka biashara chafu ambayo ni karibu ya wizi na ujambazi japo ...
Kwa mujibu wa Ewura, kampuni za mafuta zinaruhusiwa kuuza kwa bei ya ushindani ilimradi zisizidi bei kikomo au kushuka chini ...
Waliojiunga na ACT Wazalendo ni mwanzilishi wa programu ya Chadema Digital, Glory Tausi na Mwenyekiti wa zamani wa Chadema ...
Hata hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo ambapo alisema mauaji ...
Sababu ya pili, amesema ni kupata fursa ya kushiriki vikao vya kisheria na kikatiba ikiwamo Bunge ambako watapata mwanya wa ...
Arusha. Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro, amewataka mawakili wa Serikali kuzingatia maadili ya kazi zao na ...
Hata hivyo, Matiko amesema tangu kufanyika kwa utafiti huo, hakuna utafiti mwingine uliowahi kufanyika nchini.
Mbali na kuwanufaisha katika shughuli za kukaanga samaki, mradi huo unatajwa kuwaepusha wafanyabiashara hao na athari za ...
Results that may be inaccessible to you are currently showing.
Hide inaccessible results